.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 2 Julai 2015

MISRI IMESEMA JESHI LAKE LITAENDELEA NA KUPAMBANA KATIKA RASI YA SINAI

Misri imesema jeshi lake litaendelea na kupambana katika rasi ya Sinai, baada ya mapigano na kundi la Dola ya Kiislam (IS), yaliyopelekea vifo vya watu zaidi ya 100.

Jeshi la Misri limesema operesheni ya kijeshi haitositishwa hadi hapo magaidi wote watakapofagiliwa mbali katika eneo hilo.

Jeshi limesema wanajeshi 17 ni miongoni mwa watu waliouwawa baada ya wapiganaji wa IS kufanya mashambulizi mawili karibu na eneo la ukaguzi huko Sheikh Zuweid na Rafah.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni