.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 2 Julai 2015

RAIS UHURU KENYATTA KUPAMABANA NA TATIZO LA ULEVI NCHINI KENYA

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameapa kushiriki binafsi kikamilifu katika kupambana na tatizo la ulevi pamoja na uuzaji wa pombe haramu.

Rais Kenyatta amesema mapambano dhidi ya pombe haramu yataanzia eneo la kati la Kenya kwa kuwa ndilo lililoathirika mno kwa ulevi, na pia yatasambaa katika maeneo mengine ya nchi.

Ameelezea kuwa uuzaji wa pombe zenye sumu pamoja na pombe zenye madhara nchini Kenya kuwa ni biashara ya kifo, na kusema anaanzisha kampeni ya siku nne eneo la kati la Kenya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni