.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 5 Julai 2015

MAMILIONI YA RAIA WA UGIRIKI WANAPIGA KURA YA KUKUBALI AMA KUKATAA MASHARITI YA KIMATIAFA

Mamilioni ya raia wa Ugiriki wanapiga kura muhimu ya maoni, iwapo wakubali masharti ya kimataifa ya kupatiwa fedha za kusaidia uchumi wa taifa hilo.

Zoezi hilo la upigaji kura limeanza leo majira ya saa moja asubuhi saa za huko na linatarajiwa kuendelea hadi ifikapo jumapili jioni.

Serikali imekuwa ikipigia kampeni kura ya hapana, lakini wapinzani wametahadharisha uamuzi huo unaweza kuipelekea Ugiriki kuondolewa katika ukanda za euro.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni