Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani
Papa Francis anatarajiwa kuwasili Ecuador kuanza ziara yake ya siku
saba Amerika ya kusini.
Rais wa Ecuador Rafael Correa wa
mremgo wa kushoto ameielezea ziara hiyo ya Papa Francis kuwa ni
heshima kubwa.
Papa Francis atasafiri kwenda
Bolivia na Paraguay, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya pili katika
ukanda huo tangu ateuliwe kuliongoza kanisa Katoliki mwaka 2013.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni