.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 5 Julai 2015

HILLARY CLINTON AITUHUMU CHINA KWA KUJIHUSISHA WIZI WA SIRI ZA MAREKANI

Muwania urais wa urais Marekani kwa chama cha Democratic, Hillary Clinton ameituhumu China kwa kujihusisha wizi wa siri za kibiashara pamoja na taarifa za serikali ya Marekani.

Ameituhumu China kwa kujaribu kufanya udukuzi kwa kila kitu ambacho kinafanyika Marekani na kutoa wito wa kuchukuliwa tahadhari.

Maafisa wa Marekani wameielezea China kama mtuhumiwa mkuu wa vitendo vya udukuzi wa taarifa za wakala wa serikali ya Marekani, kwa mwaka huu.

Hata hivyo China imekuwa ikikanusha kuhusika na udukuzi, na kuelezea madai ya Marekani kuwa hayana tija.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni