.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 4 Julai 2015

NSSF WAIBUKA WASHINDI WA JUMLA MAONYESHO YA SABASABA

Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume baada ya kuibuka washindi wa jumla katika Maonyesho ya Biashara ya 39 ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade), Jacquline Maleko.

Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume baada ya kuibuka washindi wa jumla katika Maonyesho ya Biashara ya 39 ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade), Jacquline Maleko.
Maofisa wa NSSF wakifurahia tuzo walizopata baada ya kuwa washindi wa jumla katika maonyesho ya Sabasaba.

                                    Maofisa wa NSSF wakiwa katika maonyesho ya Sabasaba.


Baadhi ya maofisa wa NSSF wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa maonyesho ya Sabasaba pamoja na utoaji wa tuzo kwa washindi ambapo NSSF waliibuka washindiwa jumla.


Maofisa wa NSSF wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa maonyesho hayo pamoja na utoaji wa tuzo kwa washindi.

Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume (kulia) akiwa na baadhi ya maofisa wa NSSF wakati wa uzinduzi wa maonyesho ya Sabasaba pamoja na utoaji wa tuzo kwa washindi ambapo NSSF waliibuka washindi wa jumla katika maonyesho hayo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni