.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Julai 2015

RAIS BARACK OBAMA AWAONYA MARAIS WANAONG'ANG'ANIA MADARAKA

Rais Barack Obama wa Marekani amemaliza ziara yake ya Afrika na kuonya kuwa bara hili halitoendelea iwapo viongozi wanakataa kuachia madaraka baada ya mihula yao kuisha.

Akihutubia katika makao makuu ya Umoja wa Afrika Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia rais Obama amesema hakunamtu atakuwa rais wa maisha.

Rais Obama amesema hawaelewi viongozi wanaong'ang'ania kukaa madarakani kwa muda mrefu, hususan hata baada ya kuchuma fedha nyingi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni