.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Julai 2015

BUNGE LA UGANDA LAPITISHA SHERIA YA KUPIGA MARUFUKU SHISHA

Bunge la Uganda limepitisha sheria ambayo inapiga marufuku uingizaji, utengenezaji, usambazaji, umiliki aman uuzaji wa kifaa cha kuvutia tumbaku kwa njia ya bomba maarufu kama Shisha nchini humo.

Sheria hiyo imekuja kutokana na wabunge kuonyeshwa kuguswa na ongezeko la athari za kiafya nchini Uganda zitokanazo na tumbaku inayowekwa ladha na kutumika kwenye kifaa hicho, ambayo inamadhara kuliko sigara.

Chini ya sheria hiyo iwapo utatiwa hatiani kwa kosa la kuwa na kifaa cha kuvutia Shisha, utakwenda jela kwa kipindi cha miezi sita, au kulipa faini ya shilingi 480,000 za Uganda ama adhabu zote mbili kwa pamoja.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni