.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 27 Julai 2015

RAIS MUSEVENI AJITAPA KUWA YEYE NI TAJIRI KWA AJILI YA KILIMO NA SI MSHAHARA

Rais Yoweri Museveni amesema kuwa hajutii kupata kipato kidogo cha mshahara kutokana na kuingiza fedha nyingi kutokana na kilimo.

Wiki iliyopita tathimini ya Mishahara ya Marais wa Afrika ilionyesha rais Museveni ni miongoni mwa marais wanaolipwa kidogo barani Afrika.

Amesema ingawa anapata fedha ndogo kutoka serikalini yeye ni mtu tajiri kutokana na kipato cha kujishughulisha na kilimo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni