.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 31 Julai 2015

ZIMBABWE YAMTAKA DAKTARI MMAREKANI ALIYEUWA SIMBA WAO ALETWE

Waziri wa Mazingira wa Zimbabwe Oppah Muchinguri amesema daktari wa meno wa Marekani aliyemua Simba maarufu nchini Zimbabwe anapaswa kurejeshwa kutoka Marekani ili akabiliane na makosa yake.

Waziri huyo amesema Daktari Walter Palmer anapaswa kurejeshwa Zimbabwe ili awajibishwe kwa kitendo chake hicho cha kuvunja sheria.

Daktari Palmer, kutoka Minnesota, inaaminika kuwa alilipa dola 50,000 ili kuwinda Simba, anayejulikana kama Cecil, na alidhani kuwa anaruhusiwa kisheria kumua Simba huyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni