.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 31 Agosti 2015

BAADA YA KICHAPO CHA JANA MANCHESTER UNITED WAMSAKA ANTHONY MARTIAL

Baada ya kuchezea kichapo jana cha mabao 2-1 kutoka kwa Swansea, Manchester United, imetenga kitita cha paundi milioni 36 kumnasa mshambuliaji kinda wa Monaco, Anthony Martial.

Uamuzi huo umekuja baada ya Javier Hernandez kuondoka Manchester United hapo jana kujiunga na klabu ya Ujerumani ya Bayer Leverkusen kwa kitita cha paundi milioni 12.

Timu ya Monaco bado haijakubalia ofa hiyo kwa mchezaji wao huyo mwenye kiwango cha juu ambaye anafananisha na Thierry Henry mpya, hata hivyo mazungumzo yanatarajiwa kuendelea hii leo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni