.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Agosti 2015

BUNGE LAPITISHA SHERIA YA KUTUNGUA NDEGE ITAKAYOHISIWA KUWA NA UNGA

Baraza la Congress la Peru limeidhinisha muswada wa sheria ambayo inaruhusu vikosi vya anga vya taifa hilo kuitungua ndege yoyote watakayoihisi imebeba dawa za kulevya.

Peru huzalisha cocaine nyingi zaidi ya mataifa mengine duniani ambapo sehemu kubwa ya dawa hiyo ya kulevya huingizwa kwa magendo nchini Marekani.

Muswada huo umepitishwa bila kupingwa unangojea kutiwa saini na rais Ollanta Humala, ingawa unakabiliwa na upinzani kutoka Marekani kwa kukiuka usalama wa anga.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni