.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Agosti 2015

ROBIN VAN PERSIE ANZA NA BAO NA KUIPA USHINDI FENERBAHCE

Robin van Persie amefunga bao akitokea benchi na kuipatia ushindi Fenerbahce kwa bao la dakika za mwisho pindi tu alipopata mpira kwa mara ya kwanza katika mchezo wa Ligi ya Uropa dhidi ya Atromitos Anthes.

Goli hilo ni la kwanza kwa Mdachi huyo kwa klabu yake hiyo ya Uturiki, tangu asajiliwe na klabu ya Fenerbahce akitokea Manchester United.

Akiwa ameingia uwanjani katika dakika ya 80, huku akiendelea kuhangaika na jeraha la misuli ya kigimbi cha mguu, van Persie alipachika bao la kichwa katika mchezo huo uliochezwa nchini Ugiriki.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni