.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Agosti 2015

BORUSSIA DORTMUND YAMKAA USINGIZINI NA KUREJESHA MABAO 3 NA KUONGEZA LA NNE

Timu ya Borussia Dortmund ilitoka nyuma kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Ballklubb ndani ya dakika 22 na kuibuka na ushindi katika mchezo wa Ligi ya Uropa hapo jana.

Katika mchezo huo timu hiyo ya Ujerumani ikicheza kwenye uwanja wa nyasi bandia iliamka na kupachika mabao 4 na kubadili matokeo kuwa 4-3.

Nyota wa Dortmund Pierre-Emerick Aubameyang alifunga mabao mawili, Shinji Kagawa moja na Henrikh Mkhitaryan kufunga kwa kichwa bao la ushindi.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni