.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 20 Agosti 2015

JENGO LA USALAMA WA TAIFA KASKAZINI MWA CAIRO LAKUMBWA NA TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Misri amesema jengo la usalama wa taifa kaskazini mwa Cairo limekumbwa na tukio la mlipuko wa bomu kwenye gari mapema leo.

Maafisa polisi sita wamejeruhiwa na mlipuko huo kaskazini mwa Wilaya ya Shubra katika Jiji hilo, hakuna taarifa za kutokea vifo.

Wakazi katika Jiji la Cairo wameripotiwa wakisema wamesikia mlipuko mkubwa. Kumekuwepo na matukio kadhaa ya mashambulio ya wapiganaji wa Kiislam katika mwaka huu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni