.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 8 Agosti 2015

LIGI KUU ENGLAND YAREJEA TENA, LEO NI CHELSEA NA SWANSEA

Kivumbi cha ligi kuu England kinaanza kutimka hii leo jumamosi 08' 08' 2015 kwa kushuhudia mabingwa watetezi wa kombe hilo, matajiri wa jiji la London, Chelsea wakiwa nyumbani kucheza na Swansea. 

Mchezo huo ni muhimu kwa Chelsea kuonyesha jinsi walivyopania kulinda heshima yao, baada ya kujikuta wakifungwa na Arsenal bao 1-0 katika mchezo wa Ngao ya Hisani jumapili iliyopita katika uwanja wa Wembley kuashiria mwanzo wa ligi hiyo inayopendwa kila pembe ya dunia. 

Mechi nyingine zitakazochezwa leo katika ufunguzi wa ligi hiyo itakuwa kama ifuatavyo:-

Manchester United  vs Tottenham

Bournemouth vs Aston Villa

Everton vs Watford

Leicester vs Sunderland 

Norwich vs Crystal Palace

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni