.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 8 Agosti 2015

MOURINHO ASAINI MIAKA MINNE KUENDELEA KUINOA CHELSEA

                                                                      Kocha mkuu wa Chelsea, Jose Mourinho
Muda mfupi kabla ya kupulizwa kwa kipyenga cha ligi kuu nchini England, timu ya soka ya Chelsea imempa mkataba mnono wa miaka minne ( 4 ) kocha wake mkuu Mreno, Jose Mourinho wa kuendelea kuifundisha timu hiyo yenye maskani yake jijini London. 

Mourinho ambaye msimu uliopita aliisaidia timu hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo, amesaini ambao utafikia kikomo mwaka 2019 na atalipwa paundi milioni 30. Msimu uliopita alitwaa vikombe viwili, ligi kuu na Capital One akiwa na timu hiyo. 

Mreno huyo amekuwa ni kipenzi kikubwa cha mashabiki na wachezaji wa timu hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni