.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 31 Agosti 2015

MAADHIMISHO KIPUNGA KATRINA YAFANYIKA KATIKA MJI WA NEW ORLEANS

Maadhimisho yamefanyika katika mji wa New Orleans nchini Marekani kuadhimisha miaka 10 tangu kutokea kimbunga cha Katrina.

Katika kumbukumbu hizo Meya Mitch Landrieu alikumbushia jinsi wakazi wa mji huo walivyoungana katika kusaidiana wenyewe.

Kimbunga cha Katrina kiliuwa karibu watu 2,000 na kuwaacha mamilioni ya watu bila makazi huko New Orleans.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni