.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 31 Agosti 2015

MAALIM SEIF AOMBOLEZA MSIBA WA KANALI MSTAAFU KIMBAU

  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akitia saini kitabu cha maombolezi nyumbani kwa marehemu Kanali mstaafu Ayubu Shomari Kimbau, Kinondoni Dar es Salaam. Kimbau pia alikuwa mwanasiasa mstaafu aliyekuwa mbunge wa muda mrefu Wilayani Mafia.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na mtoto wa marehemu Kanali Mstaafu Kimbau, Omar Ayubu Kimbau, baada ya kutoa mkono wa pole kufuatia kifo cha baba yake marehemu Kanali Mstaafu Ayubu Kimbau. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni