.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 31 Agosti 2015

MIKATABA MIWILI YA MAKUBALIANO YA MFUKO WA PAMOJA WA KUCHANGIA FEDHA KWA AJILI YA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA YASAINIWA

IMG_2189 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Servacius Likwelile(kulia) akizungumza jambo kabla ya kuanza kutia saini mikataba miwili ya makubaliano ya mfuko wa pamoja wa kuchagia fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na Kiongozi wa wadau wa maendeleo, ambaye ni Balozi wa Ireland, Fionnuala Gilsenan(kushoto) katika hafla iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar es Salaam. Mkataba wa kwanza ni wa Sh. bilioni 531 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kipindi cha miaka mitano na wa pili wa Sh. bilioni 80 kwa ajili ya kusaidia bajeti ya mwaka huu wa fedha kwenye sekta hiyo.
unnamedunnamedX
Baadhi ya wadau wa maendeleo na ujumbe wa Tanzania wakiwa katika hafla hiyo.
A
Balozi wa Ireland, Fionnuala Gilsenan(kushoto) ambaye pia ni Kiongozi wa wadau wa maendeleo akizungumza mara baada ya kutia saini mikataba miwili ya makubaliano ya mfuko wa pamoja wa kuchagia fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na katika haflaiiliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar es Salaam. Mkataba wa kwanza ni wa Sh.bilioni 531 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kipindi cha miaka mitano na wa pili wa Sh. bilioni 80 kwa ajili ya kusaidia bajeti ya mwaka huu wa fedha kwenye sekta hiyo.
M
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Servacius Likwelile(kulia na Kiongozi wa wadau wa maendeleo, ambaye ni Balozi wa Ireland, Fionnuala Gilsenan(kushoto)) wakitia saini mikataba miwili ya makubaliano ya mfuko wa pamoja wa kuchagia fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na katika hafla iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar es Salaam. Mkataba wa kwanza ni wa Sh. bilioni 531 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kipindi cha miaka mitano na wa pili wa Sh. bilioni 80 kwa ajili ya kusaidia bajeti ya mwaka huu wa fedha kwenye sekta hiyo.
B E
Katibu Mkuu wa Wizara Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt, Donan Mmbando(kulia) akizungumza mara baada ya kutia saini mikataba miwili ya makubaliano ya mfuko wa pamoja wa kuchagia fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na katika hafla iiliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar es Salaam. Mkataba wa kwanza ni wa Sh. bilioni 531 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kipindi cha miaka mitano na wa pili wa Sh. bilioni 80 kwa ajili ya kusaidia bajeti ya mwaka huu wa fedha kwenye sekta hiyo.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za ,Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) , Dkt. Deo Mtasiwa.Q
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za ,Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) , Dkt. Deo Mutasiwa. akizungumza mara baada ya kutia saini mikataba miwili ya makubaliano ya mfuko wa pamoja wa kuchagia fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na katika hafla iiliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar es Salaam. Mkataba wa kwanza ni wa Sh. bilioni 531 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kipindi cha miaka mitano na wa pili wa Sh. bilioni 80 kwa ajili ya kusaidia bajeti ya mwaka huu wa fedha kwenye sekta hiyo.Kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii , Dkt. Donan Mmbando.
unnamedD
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Servacius Likwelile(kulia na Kiongozi wa wadau wa maendeleo, ambaye ni Balozi wa Ireland, Fionnuala Gilsenan(kushoto)) wakitia saini mikataba miwili ya makubaliano ya mfuko wa pamoja wa kuchagia fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na katika hafla iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar es Salaam. Mkataba wa kwanza ni wa Sh. bilioni 531 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kipindi cha miaka mitano na wa pili wa Sh. bilioni 80 kwa ajili ya kusaidia bajeti ya mwaka huu wa fedha kwenye sekta hiyo.
unnamedV 
Mwakilishi kutoka Benki ya Dunia(WB), Paul Edwards ( katikati) akitia saini mikataba miwili ya makubaliano ya mfuko wa pamoja wa kuchagia fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na katika hafla iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar es Salaam. Mkataba wa kwanza ni wa Sh. bilioni 531 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa kipindi cha miaka mitano na wa pili wa Sh. bilioni 80 kwa ajili ya kusaidia bajeti ya mwaka huu wa fedha kwenye sekta hiyo. 

                                                           PICHA ZOTE NA MAGRETH KINABO – MAELEZO

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni