.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 17 Agosti 2015

MABAKI YA NDEGE YA INDONESIA ILIYOTOWEKA NA WATU 54 YAMEONEKANA

Mabaki ya ndege ya Indonesia iliyotoweka na watu 54 yameonekana katika eneo la kando la mkoa wa Papua.

Ndege ya Shirika la Trigana ilipoteza mawasiliano jana majira ya saa tisa kasoro dakika tano saa za huko ikitokea Jiji la Jayapura, kwenda mji wa Oksibil.

Waziri wa Usafirishaji wa Indonesia amesema ndege hiyo imeonekana na wakazi wa maeneo ya miinuko ya Bintang.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni