Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na
Balozi mpya wa Tanzania nchini Saud Arabia, Hemed Mgaza, wakati
alipofika kumuaga Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo
Agosti 3, 2015. Balozi Mgaza anakwenda nchini Saud Arabia, kuanza
kazi rasmi baada ya kuteuliwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete.
Picha na OMR.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni