.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 17 Agosti 2015

MAKUMI KWA MAELFU YA WATU WAANDAMANA NCHI NZIMA NCHINI BRAZIL

Makumi kwa maelfu ya watu wameshiriki katika maandamano ya nchi nzima nchini Brazil wakishinikiza kuchunguzwa rais wa nchi hiyo, Dilma Rousseff.

Wapiga kura wengi wa taifa hilo wanamtuhumu rais Rousseff kwa kushindwa kudhibiti rushwa na kwa kuharibu uchumi wa taifa hilo katika hali mbaya.

Waandamanaji waliandamana kwenye fukwe ya Copacabana Jijini Rio ambapo pia waandamanaji wengine walikusanyika kwenye jenngo la Baraza la Congress katika Jiji la Kuu la nchi hiyo Brasilia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni