.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 8 Agosti 2015

MANCHESTER UNITED YAANZA VYEMA LIGI KUU ENGLAND

Mlinda mlango wa Tottenham, Vorm akijaribu bila mafanikio kuuzuia mpira uliopigwa na beki wake, Walker na kuiandikia Manchester United bao lililodumu hadi mpira unamalizika. 

Timu ya soka ya Manchester United imeanza vyema ligi kuu nchini England baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tottenham. 

Katika mchezo huo, Man U iliwachukua dakika 21 tu ya kipindi cha kwanza kupata bao lililofungwa na mlinzi wa Tottenham, Kyle Walker akiwa katika harakati za kuondoa hatari langoni mwake.
Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ua kupata bao lililotokana na makosa ya beki wa Tottenham, Walker aliyejifunga.
Aliyekuwa mlinda mlango wa Manchester United, De Gea akiweka saini kwa mashabiki wa timu hiyo. Mlinda mlango huyo anatimkia Real Madrid ya Hispania.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni