.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Agosti 2015

NICK GORDON ALIMLEWESHA BOBBI KRISTINA NA KUMWEKA KWENYE BAFU AFE

Kesi mpya imedai kuwa Nick Gordon alimlewesha Bobbi Kristina Brown kwa kumpatia mchanganyiko wa dawa za kulevya na kumuinamisha uso wake kwenye beseni la bafu ili aweze kufa.

Gazeti la New York Daily limeripoti kuwa nyaraka za mahakama katika kaunti ya Fulton, Ga, zinaelezea tukio hilo kama kifo cha makosa na Gordon hakabiliwi na mashtaka ya uhalifu.

Brown (22) alifariki dunia Julai 26 akiwa katika chumba cha ungalizi cha wagonjwa mahututi baada ya kupoteza fahamu tangu mwezi Januari mwaka huu.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni