.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Agosti 2015

NDOA YA JAY Z NA BEYONCE YAELEKEA KUTETEREKA WAONEKANA BILA PETE

Wanamuziki wanandoa Beyonce na Jay Z inawezekana wakawa nyota wa Marekani wanaofuatia kuachana.

Wanandoa hao wameonekana wakiwa hawana tena pete zao za ndoa, na kuibua uvumi kuwa huenda mambo si shwari ndani ya ndoa yao.

Vyanzo vya ndani vya habari vimedai kuwa ndoa ya Jay na Beyonce imetibuka na wanaishi maisha yao kila mmoja kivyake, ila tu Beyonce hajawa tayari kutoa taarifa rasmi.

Wanandoa hao wanamtoto wa kike Blue Ivy, 3, ambapo pia Beyonce ameripotiwa kujaribu kupata ujamzito wa pili katika kujaribu kuokoa ndoa yake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni