.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Agosti 2015

KOCHA ARSENE WENGER AMEPEWA RUHUSA YA KUVUNJA REKODI YA UHAMISHO YA ARSENAL

Kocha Arsene Wenger amepewa ruhusa ya kuvunja rekodi ya uhamisho ya Arsenal ili kuweza kumnasa mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Karim Benzema.

Washika mtutu hao wa London wanajipanga pia kuvunja rekodi ya sasa mshahara wa Mesut Ozil wa paundi 150,00 kwa wiki, ili kumnasa Benzema.

Wenger anahaha kumnsa Benzema katika majira ya joto, akiamini mshambuliaji huyo wa Real Madrid atamuwezesha kuibadili Arsenal na kuifanya itwae kombe la Ligi Kuu ya Uingereza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni