.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Agosti 2015

KOCHA JOSE MOURINHO AIBWATUKIA TIMU YA MADAKTARI WA TIMU YAKE

Kocha Jose Mourinho ameibwatukia timu ya madaktari wa timu kwa kuingia dimbani bila ya kujua ukubwa wa jeraha alilopata Eden Hazard, na kuituhumu ingeweza kuigharimu Chelsea goli la dakika za mwisho.

Kikosi cha Chelsea kilikuwa kimebakia na wachezaji tisa wakati wa dakika za mwisho za mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Hazard kutolewa kupatiwa matibabu na daktari wao Eva Carneiro.

Daktari huyo alikimbia mara moja kuingia uwanjani kumtibu Hazard, hata hivyo Mourinho amesisitiza daktari huyo alifanya uamuzi wa makosa katika. Mchezo huo uliisha kwa sare ya Chelsea 2-2 Swansea.
                                                            Eden Hazard akigugumia maumivu
                            Daktari wa Chelsea Eva Carneiro akijibizana na Mourinho

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni