.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Agosti 2015

FERGUSON WAADHIMISHA MWAKA MMOJA TANGU KUUWAWA KIJANA MWEUSI

Mji wa Ferguson unaadhimisha mwaka mmoja tangu kuuwawa na polisi kijana Mmarekani mweusi, Michael Brown.

Katika kilele cha maadhimisho hayo mamia ya wakazi wa mji huo waliandamana kwenye barabara za mji katika kumuenzi kijana huyo wakiongozwa na baba wa marehemu.

Kitendo cha kuuwawa kwa kupigwa risasi kijana huyo mwenye umri wa miaka 18 na polisi mzungu Darren Wilson, kiliibua maandamano katika maeneo mbalimbali ya Marekani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni