.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Agosti 2015

MAREKANI YAFIKIRIA KUIWEKEA VIKWAZO NCHI YA BURUNDI

Afisa wa ngazi ya juu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa (UN), Samantha Power amesema Marekani pamoja na nchi nyingine zinafikiria kuiwekea vikwazo Burundi kwa kukiuka haki za binadamu.

Balozi Samantha Power amesema ipo haja ya kuwepo kwa usawa wa kisiasa ili kuhakikisha pande zote zinazopingana kimawazo zinaendesha siasa zake bila ghasi wala kuwepo kwa matukio ya mauaji.

Mauji ya generali wa ngazi za juu serikalini na jaribio la kuuwawa mwanaharakati yameongeza shinikizo la la Jumuiya ya Kimataifa kutaka kuwepo kwa majadiliano ya kisiasa kuinusuru Burundi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni