.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 11 Agosti 2015

MBUNIFU WA JAPAN ABUNI GARI LENYE UKUBWA WA TABLETI

Usafiri wenye ukubwa sawa na komputa ya tableti umebuniwa na mhandisi wa Japan kwa ajili ya matumizi.

Gari hilo la usafiri wa kusimama juu linauwezi wa kusafiri kwa kasi kilomita 10 kwa saa unaweza kutumiwa na mtu hadi mwenye kilo 120.

Mbunifu huyo Kuniaki Sato amesema chombo hicho amekibuni kwa ajili ya kujiburudisha pamoja na kwa ajili ya biashara.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni