.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 11 Agosti 2015

RAHEEM STERLING AONYESHA UPENDO KWA MASHABIKI KWA KUGAWA JEZI YAKE

Licha ya Raheem Sterling kukosa nafasi nzuri ya kuifungia goli kwa mara ya kwanza timu yake mpya ya Manchester City dhidi ya West Brom lakini kwa mujibu wa mashabiki wawili vijana wa timu hiyo kwao ni mchezaji bora wa mchezo huo.

Kufuatia ushindi mnono wa mabao 3-0 wa Manchester City dhidi ya West Brom, mchezaji huyo aliyesajiliwa kwa kitita cha paundi 49 akitokea Liverpool aliruka mabango ya matangazo na kuwapa jezi yake mashabiki vijana wawili.
                   Raheem Sterling alielekea kuwapa jezi mashabiki wa Manchester City 
                        Ni furaha ilioje kupewa jezi na shujaa mpya wa Manchester City

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni