.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 18 Agosti 2015

MKUTANO WA KUWATAMBULISHA WAGOMBEA WA UKAWA WAFANYIKA KIBANDAMAITI

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Edward Lowassa, akisalimiana na mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Zanzibar.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Adward Lowassa, akihutubia katika viwanja vya Kibandamaiti Mjini Zanzibar.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Kibandamaiti Mjini Zanzibar.
Wanachama na wapenzi wa vyama vinavyounda UKAWA, walivyojumuika kwenye mkutano huo uliofanyika Kibandamaiti
Baadhi ya wananchi jamii ya kimasai waliopo Zanzibar, walivyojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa UKAWA kumuunga mkono mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Edward Lowassa.
  Wanachama na wapenzi wa vyama vinavyounda UKAWA, walivyojumuika kwenye mkutano huo uliofanyika Kibandamaiti
Wanachama na wapenzi wa vyama vinavyounda UKAWA, walivyojumuika kwenye mkutano huo uliofanyika Kibandamaiti
Baadhi ya viongozi wakuu wa UKAWA, wakijitambulisha kwa wananchi wa Zanzibar kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kibandamaiti. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni