.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Agosti 2015

MSAIDIZI WA KARIBU WA RAIS PIERRE NKURUNZIZA AUWAWA KATIKA SHAMBULIO

Msaidizi wa karibu wa rais Pierre Nkurunziza ameuwawa katika shambulio lililofanywa akiwa kwenye gari lake Jijini Bujumbura.

Msaidizi huyo Jenerali Adolphe Nshimirimana alikuwa ni mkuu wa zamani wa usalama na mkuu wa vikosi vya jeshi.

Washambuliaji walililenga gari lake katika wilaya ya Kamenge wakiwa na bunduki aina ya machine gun pamoja na kombora la kutungulia roketi.

Burundi imekumbwa na hali ya machafuko tangu Aprili, bada ya Nkurunziza atangaze kuwani tena urais kwa muhula wa tatu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni