Asilimia 70 ya maelfu ya wahamiaji
kutoka bara la Afrika wanaokatiza eneo la Calais Ufanransa kuingia
Uingereza wanafanikiwa kufanya hivyo wabunge wa nchi hiyo
wametahadharisha.
Takwimu za mkuu wa polisi
zimebanisha wahamiaji haramu 900 huingia Uingereza kila mwezi, wakati
mawaziri wa nchi hiyo wakiweka jitihada ya kudhibiti hali hiyo.
Mawaziri watatangaza leo hatua za
kuwabana wamiliki wa nyumba watakaoshindwa kuhakiki iwapo
wanazikodisha nyumba zao kwa wahamiaji haramu ambapo watakabiliwa na
hukumu ya miaka mitano jela.
Mhamiaji akiwa kajipinda chini ya lori katika kuzamia Uingereza
Mhamiaji akiwa amepanda juu ya uzuio katika eneo la Calais



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni