.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 3 Agosti 2015

WAANDAMANA KUTUMA UJUMBE KUWA MATITI SI SILAHA BAADA YA MWANAMKE KUFUNGWA

Makumi ya wanaume waliovaa sidiria na wanawake wameandamana huko Hong Kong baada ya mwanamke mmoja kuhukumiwa kifungo cha miezi mitatu jela kwa kumtuhumu polisi mwandamizi mwanaume kumshika titi lake.

Mwanamke huyo Ng Lai-ying, 30, alimtuhumu Inspekta Mkuu wa polisi Chan Ka-po kwa kumshika titi lake wakati wa maandamano yaliyofanyika mwezi Machi, mwaka huu.

Hata hivyo mahakama ilimgeuzi kibao mwanamke huyo, kwa madai kuwa alifanyamakusudi kusogeza titi lake dhidi ya mwili wa polisi huyo ili baadae amtuhumu kwa kumdhalilisha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni