Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa
Buzwagi Injini Philbert Rweyemamu akizungumza na wafanyabiashara wa
mkoa wa Shinyanga wakati wa kikao na wafanyabiashara hao kilichokuwa
na lengo la kuwapatia ufahamu juu ya masuala ya manunuzi.
Bwana Nixson Mlumba Afisa Manunuzi
wa ACACIA akifafanua jambo wakati wa Kikao hicho.
Baadhi ya Wafanyabiashara
wakifuatilia kwa makini maelezo ya kutoka kwa Uongozi wa Kampuni ya
Acacia wakati wa Kikao hicho.
Wafanyabiasha wa mkoa wa Shinyanga
wakiwa katika picha ya Pamoja na mkuu wa Mkoa na viongozi kutoka
kampuni ya ACACIA.




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni