.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Agosti 2015

NDEGE YA ISRAELI IMERUSHA MAKOMBORA KATIKA JENGO MOJA NCHINI SYRIA


Ndege ya Israeli imerusha makombora katika jengo moja nchini Syria katika eneo la juu la Golan kujibu mapigo ya roketi katika kijiji cha Israeli.

Televisheni ya taifa ya Syria imesema makombora kadhaa yamelipua kituo cha usafiri na jengo la umma katika eneo la Quneitra.

Mapema makombora ya roketi yalirushwa na kutua katika kijiji kaskazini mwa Israeli, hakuna taarifa za kuwapo majeruhi katika milipuko hiyo. 
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni