.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 14 Agosti 2015

RAIS BUHARI AMPATIA MKUU WA MAJESHI MIEZI MITATU YA KUWAFYEKA BOKO HARAM

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari mempatia mkuu mpya wa jeshi miezi mitatu kuwadhibiti wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini humo.

Rais Buhari ametoa agizo hilo wakati akiwaapisha makamanda wapya wa jeshi ambao aliwateuwa mwezi uliopita.

Wakati rais Buhari akiingia madarakani mwezi Mei, aliapa kukabiliana na harakati za uasi za kundi hilo la Waislamu wenye itikadi kali.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni