.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 14 Agosti 2015

MFALME WA KABILA LA YORUBA NCHINI NIGERIA KUZIKWA KATIKA MJI WA IFE

Mfalme wa utawala wa kusini magharibi mwa Nigeria, Onu of Ife, atazikwa katika maziko ambayo yanatarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya watu.

Mila za kumtukuza mfalme huyo Oba Okunade Sijuwade wa kabila la Yoruba ambalo ni la pili kwa ukubwa nchini Nigeria, zinafanyika katika mji wa Ife.

Mabenki na biashara nyingine zimefungwa kupisha maziko ya mfalme huyo (85) aliyefariki dunia London mwezi julai, lakini taarifa za kifo chake zilitangazwa jumatano ya wiki hii.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni