.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 20 Agosti 2015

RAIS SALVA KIIR AAHIDI KUTIA SAINI MAKUBALIANO YA AMANI

Idara ya serikali ya Marekani imesema rais wa Sudani Kusini ameahidi kutia saini makubaliano ya amani, ambayo awali alisita kuyasaini.

Rais Salva Kiir amemuambia Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry, kuwa ameamua kutia saini makubaliano ya amani baada ya siku kadhaa za mashauriano.

Kukataa kwake kutia saini makubaliano hayo siku ya jumatatu ya kumaliza machafuko ya miezi 18, kulielezwa na msuluhishi mkuu wa mgogoro huo kama mchezo wa kiakili.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni