.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 30 Agosti 2015

REAL MADRID YAFANAYA MAUAJI WAKATI BALE NA JAMES WAKICHEKA NA NYAVU MARA MBILI

Gareth Bale na James Rodriguez wameifungia Real Madrid magoli mawili kila mmoja wakati timu hiyo ikiibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Real Betis katika ligi ya La Liga.

Katika mchezo huo Gareth Bale aliifungia Real Madrid bao la kwanza mnamo dakika ya pili tu ya mchezo kwa kuunganisha kwa kichwa mpira wa krosi uliopigwa na James Rodriguez.

Kipa wa Real Madrid Navas alionekana kuwa shujaa mpya baada kuokoa mchomo katika kipindi cha kwanza na pia katika kipindi cha pili alipomnyima bao Ruben Castro.
            Gareth Bale akipiga mpira wa kichwa uliotinga wavuni na kuandika bao la kwanza
                                                    James Rodriguez akipiga shuti lililotinga wavuni 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni