Chama cha ACT-Wazalendo kinazindua
rasmi kampeni zake za uchaguzi hii leo, mkutano ambao pia utatumika
kuwatambulisha wagombea wa ubunge wa chama hicho wa Tanzania bara na
Zanzibar.
Uzinduzi wa kampeni hizo za
unafanyika Zakhem Mbagala na utahudhuriwa na viongozi wote wa kitaifa
akiwemo Kiongozi Mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe pamoja na Mwenyekiti
wa chama hicho Anna Maghwira ambaye pia ni mgombea urais.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni