.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 30 Agosti 2015

KOCHA JOSE MOURINHO ATISHIA KUWAPUNGUZA WACHEZAJI NYOTA WAKE WATATU

Kocha Jose Mourinho ametishia kuwapunguza wachezaji nyota wake watatu ambao amewalaumu kuchangia Chelsea kupata kipigo jana kutoka kwa Crystal Palace, kutokana na kucheza chini ya kiwango.

Chelsea ilijikuta ikilala nyumbani Stamford Bridge kwa mabao 2-1 dhidi ya Crystal Palace, baada ya Joel Ward kuifungia timu yake bao la pili na la ushindi.

Kufuatia kipigo hicho Mourinho amesema kuwa anaanza kuishiwa na uvumilivu dhidi ya wachezaji wake wawili ama watatu kutokana na kutofanya vizuri dimbani.
                                       Kocha Jose Mourinho akiwa kwenye pozi la kukerwa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni