Moto mkubwa katika jengo la makazi
nchini Saudi Arabia umesababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi
wengine 105.
Serikali ya Saudi imesema raia wa
mataifa mbalimbali ni miongoni mwa waliojeruhiwa, ambapo baadhi yao
hali zao ni mbaya.
Moto huo umetokea katika jengo hilo
linalotumiwa na wafanyakazi wa kampuni kubwa ya mafuta ya Saudi
Aramco mashariki mwa mji wa Khobar.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni