Raheem Sterling amefunga bao lake la
kwanza akiwa na Manchester City tangu ajiunge kwa kitita cha paundi
milioni 49 akitokea Liverpool.
Katika mchezo huo Manchester City
iliifunga Watford mabao 2-0, ambapo Raheem alifunga bao la kwanza
katika dakika ya 47, na dakika kumi baadae Fernandinho aliongeza la
pili.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni