.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 18 Agosti 2015

RUBANI AFUNGWA JELA MIEZI SITA KWA KURUSHA NDEGE AKIWA KALEWA

Rubani msaidizi wa Lativia ambaye alikiri kunywa whisky na bia kabla ya kurusha ndege ya airBaltic kutokea Norway kwenda Crete amefungwa jela miezi sita.

Wahudumu wengine wawili wa ndege hiyo nao pia wamehukumiwa kifungo cha siku 45 na 60 kila mmoja.

Vipimo vilionyesha rubani huyo msaidizi alikuwa na pombe nyingi kwenye damu yake ikiwa na ongezeko la mara saba ya kipimo cha ukomo wa kileo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni