.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 19 Agosti 2015

SEHEMU TAKATIFU ILIYOTOKEA MLIPUKO BANGKOK YAFUNGULIWA

Sehemu takatifu ilipotokea milipuko mibaya siku ya jumatatu Jijini Bangkok nchini Thailand imefunguliwa kwa umma hii leo.

Watu wapatao 20 wamekufa na wengine wengi wamejeruhiwa katika shambulio la mahala hapo pa dhehebu la Kihindu, ambapo ni maarufu kwa Mabuddha wa nchini Thailand.

Polisi nchini Thailand imesema mtuhumiwa wa tukio hilo ni kijana mmoja ambaye alinaswa na kamera za usalama akiacha begi lake la mgongoni lililokuwa na mlipuko na kuondoka.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni