.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 26 Agosti 2015

UMOJA WA MATAIFA UPO TAYARI KUCHUKUA HATUA KWA RAIS SALVA KIIR

Umoja wa Mataifa umesema upo tayari kuchukua hatua, iwapo rais wa Sudani Kusini Salva Kiir hajatia saini makubaliano ya amani na waasi.

Kiir anatarajiwa kutia saini makubaliano ya kumaliza miezi kadhaa ya vita ya kikatili hii leo, kiongozi wa waasi Riek Machar alitia saini makubaliano hayo wiki iliyopita.

Mapigano baina ya vikosi vitiifu vya viongozi hao wawili vimepelekea watu milioni 2.2 kukosa makazi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni