.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 17 Agosti 2015

WAKAZI WA MJI WA CHINA WA TIANJIN WAANDAMANA KUDAI FIDIA YA NYUMBA ZAO

Wakazi wa mji wa China wa Tianjin ambao nyumba zao zimeharibiwa na milipuko Agosti 12 wameandamana kudai fidia kutoka serikalini.

Idadi kubwa ya watu wamekusanyika nje ya Hoteli ya Mayfair, ambako maafisa wa serikali wanatoa taarifa kwa vyombo vya habari.

Wakazi wa Tianjin wamesema maghala ya kuhifadhi chemikali yaliyolipuka yamejengwa kinyume cha sheria karibu na nyumba zao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni